AD (728x90)

Monday, May 28, 2012

Matukio zaidi katika picha kwenye sherehe ya vijana Moraviank

Kutoka kulia ni Mtunza hazina wa Vijana Moravian Mrs Rehema Eginga, Mwenyekiti wa Vijana Dk Fredrick Mwakibinga na mama Mlezi wa vijana MAMA Kapalala

Waaumini wakifuatilia kwa makini Sherehe hizo jijini dar es salaam

Makamu Mwenyekiti wa Vijana Ayub Mbalazi akisoma Risala kwa Mchungaji iliyoelezea mambo yaliyofanywa na yatarajiwayo kufanywa, nyuma ni mchungaji Kabuka akiandika yanayojiri ndani ya hotuba

Mchungaji wa kanisa la Moravian Ushirika wa Kinondoni Kushoto Pastor Kabuka, akiwa na Mgeni wake kutoka katika kanisa la Anglikan ambaye pia ni mkufunzi wa chuo cha St Max  cha jijini Dar es salaam

No comments:

© 2013 HEKIMA KWAYA MORAVIAN-KINONDONI . All rights resevered. Designed by Templateism