AD (728x90)

Monday, May 28, 2012

Mchungaji Kabuka akasema Kijana ni lazima aufurahie ujana wake

Mch.Conjester Mpanda akiwajibika vilivyo katika moja ya nyimbo kwenye sikukuu hiyo, aisee huyu dada Mungu anamtumia vilivyo.

Hawa ndiyo Magwiji wa uimbaji Kinondoni KWAYA KUU ambao hadi leo wanaendelea kutunza mila ya kimoravian yaani kupiga mapigo na ile Fimbo wenyewe hupenda kuiita "Baton"

Aiseee tunabarikiwa sana na Harvest Kwaya ni kwaya ambayo imeanzishwa hivi karibuni katika kanisa letu lakini tunashuhudia kuwaona Mungu akifanya kazi pamoja nao, Mungu ambariki sana muanzilishi wa maono haya baba yetu Mwasikili aka wa Mujini

Hapa ni baba wetu wa kiroho Mchungaji  Israel Kabuka aktoa baraka katika ibada ya kwanza.Hakika tunabarikiwa sana baba yetu huyu wa kiroho kinondoni tunapenda kumuita Mutu ya watu.babaaaaaaaaaa amani kwako

No comments:

© 2013 HEKIMA KWAYA MORAVIAN-KINONDONI . All rights resevered. Designed by Templateism