Enzi hizo kwaya zetu zilikuwa zinatumia majoho kwenye uimbaji, majoho hayo yalikuwa yanakaa ofisi ya mchungaji, hakuna wa kwenda nalo home, ukienda nalo basi lazima utoe sababu, aaaaa siku hizi watu wanapiga pamba kama kawa, nazani utandawazi ndiyo uliotufikisha hata lazimakwaya ziendane na karne hii ya sayansi na tekinolojia, waone waimbaji hawa enzi zao walipendeza sana
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment