AD (728x90)

Monday, July 16, 2012

Matukio ya picha uzinduzi wa Kanisa la Moravian Ushirika wa Sayuni

Joseph Samson na Jackline Kasisika wakiwaongoza wana Hekima kwenye maandamano kabla ya kuzindua Ushirika Mpya wa Sayuni

Huyu ni mama Mwaipasi hakika tunabarikiwa naye sana kwa kazi yake nzuri, katika uzinduzi huo wakinamama wa Moravian Kinondoni hawakuwa nyuma, mbarikiwe sana wakinamama

Hekima kwaya wakifanya vitu vyao

Mchungaji Saul Kajura akimbariki mtumishi wa Mungu Mwnjilisti Ndefula la mkewe kuwa wainjilisti rasmi wa Ushirika huo

No comments:

© 2013 HEKIMA KWAYA MORAVIAN-KINONDONI . All rights resevered. Designed by Templateism