AD (728x90)

Wednesday, June 27, 2012

Mungu akiwa upande wetu, watoto wetu watapona

Baba yetu wa Kiroho Mch. Israel Kabuka akifuatilia kwa umakini mkubwa ibada hiyo, pembeni ni muhubiri wa siku hiyo ambaye alitoa wito kwa wakristo kuwa na roho ya huruma katika jamii lakini pia kuwaombea sana watoto

Mahubiri yakiendelea, tulibarikiwa sana na mama huyu

Kwaya kuu nao walikuwepo, wakifanya kazi kama kawaida, wiki ijayo wanatarajia kuanza kufanya rekodi ya video

No comments:

© 2013 HEKIMA KWAYA MORAVIAN-KINONDONI . All rights resevered. Designed by Templateism