AD (728x90)

Monday, May 13, 2013

Mungu kwetu sisi ni kimbilio na nguvu

Tunakila sababu za kumshukuru Mungu wetu aliye hai kwa sababu siku zote ameendelea kuwa upande wetu, si kwamba sisi ni wakamilifu sana la hasha bali ni kwa neema yake tu tumeendelea kuuona mkono wake ukifanya kazi pamoja nasi.tuzazidi kuwashukuru ndugu zetu wote kwa ushirikiano wenu wa hali na mali wa kuifanya Hekima kwaya iendelee kumtumikia Mungu wetu aliye hai.
Sehemu ya vijana wa hekima kwaya wakiwa katika picha ya pamoja mara baada ya kumaliza ibada ushirikani Kinondoni

Wadada wa Hekima wakiwa katika picha ya pamoja, hakika tunabarikiwa sana na wadada hawa

Haya sasa Joseph Luliko Lwakeghe Minga, Meniford pamoja na Chris wakiwa katika picha ya pamoja walipomaliza Ibada

Hapa ni dada zetu Bumi Malema na Sekela Mwaipopo, kwa kweli tunamshukuru Mungu sana kwa ajili yao wamekuwa sehemu ya mafanikio katika kundi letu.

No comments:

© 2013 HEKIMA KWAYA MORAVIAN-KINONDONI . All rights resevered. Designed by Templateism