AD (728x90)

Tuesday, April 2, 2013

Nsaji:Tukijipanga sawasawa Mungu hawezi kutuacha

Mwenyekiti wa Kwaya ya Efatha Nsaji, Akimwabudu Mungu wake aliye hai, Kwa kweli Mungu anamtumia sana huyu jamaa, Hekima kwaya tunadiliki kutamka neno la baraka kwa ajli yake, wengi wamebarikiwa na kumrudia Mungu na  pia wengine kutamani kuishi maisha ya huyu jamaa.Hii ni sifa njema na iliyotukuka.Mungu akubariki sana ndugu yetu Nsaji elewa kuwa umebeba watu wengi nyuma yako kaza mwendo bado kuna tumaini.

No comments:

© 2013 HEKIMA KWAYA MORAVIAN-KINONDONI . All rights resevered. Designed by Templateism