AD (728x90)

Thursday, May 24, 2012

Sikukuu ya umoja wa vijana kinondoni jumapili

hekima kwaya mzigoni
Kanisa la Moravian kila mwaka huazimisha sikukuu ya Umoja wa Vijana katika shirika zake zote, mwishoni mwa mwezi Mei, Vijana ushirika wa Kinondoni wakiwemo hekima na wadogo zao New Hope kwaya watakuwa wakisherehekea sikukuu hiyo kwa kishindo ushirikani kwao, Blog ya hekima ilikutana na Mwenyekiti wa Vijana Dk F.Mwakibinga ambaye alisema kuwa maandalizi yanaendelea vizuri.Blog hii itakuwa live siku ya jumapili kwa ajili ya kukuletea wewe mtazamani mambo yatakayokuwa yakijiri. pia kwenye face book.mbarikiwe sana

No comments:

© 2013 HEKIMA KWAYA MORAVIAN-KINONDONI . All rights resevered. Designed by Templateism