AD (728x90)

Monday, June 6, 2011

Harakati za kutafuta vyombo vya muziki

Kanisa la Moravian Ushariki wa Kinondoni sasa lipo katika mchakato wa kuhakikisha linakuwa navyombo vizuri katika Ibada, ili kumuinua yesu kristo bila Uoga, Kufuatia hali hiyo jana lilifanyika Tamasha kubwa la kuchangia fedha kwa ajili ya vyombo, Picha hii inaonyesha Mwenyekiti wa Vijana Dk Fredrick Mwakibinga (kulia) akiwa na mgeni rasmi aliyeambatana naye katika tamasha hilo

No comments:

© 2013 HEKIMA KWAYA MORAVIAN-KINONDONI . All rights resevered. Designed by Templateism