AD (728x90)

Friday, May 6, 2011

KATIKA HILI HEKO RAIS KIKWETE

Mwishoni mwa mwezi uliopita Rais Jakaya Kikwete alikuwa mgeni rasmi kwenye tamasha la uimbaji maalumu kwa ajili ya kuadhimisha kumbukumbu ya kifo cha Yesu Kristo.katika tamasha hilo liliohudhuriwa na maelfu ya wato toka pande zote za jiji la Dar es Salaam liliwahusisha waimbaji wengi kutoka hapa nchini na nje ya nchi.hakika tulishuhudia uwepo wa mungu.mungu ibariki Afrika na Tanzania

No comments:

© 2013 HEKIMA KWAYA MORAVIAN-KINONDONI . All rights resevered. Designed by Templateism