AD (728x90)

Thursday, May 26, 2011

HUYU NDIYE MWENYE MTAA WA KINONDONI

Mwenyekiti wa mtaa wa Kanisa la Moravian Usharika wa Kinondoni Leah Mwainyekule akiwa katika pozi wakati wa ibada ya kumuaga mchungaji aliyestaafu hivi karibuni, awali Leah alikuwa makamu wa Mwenyekiti mtaa huo lakini katika uchaguzi uliofanyika hivi karibuni ulimpitisha awe kiongozi wa mtaa, Mungu Blog hii inakuombea mema, barikiwa

3 comments:

Mbeya Moravian Town choir said...

Hongera Dada Leah Mwainyekule kwa kuwa Mwenyekiti wa Mtaa wa Kinondoni.
Sisi MBEYA MORAVIAN TOWN CHOIR tunakuombea kwa Mungu akupe maisha marefu kwenye Kiti hicho ili kazi yake isonge mbele!

leah mwainyekule said...

Nashukuru kwa maombi yenu. Ni tumaini langu kwamba tutakuwa pamoja katika kumtumikia Mungu ili tuweze kuuendeleza Mtaa wetu ufanye makubwa zaidi katika awamu hii

Unknown said...

Mungu hawezi kututupa kwa kwa kuwa tumelichagua jina la yesu kulitumikia, zaidi sana upendo mshikamano na umoja viwe nasi tutafanya makubwa, barikiwa sana, wasalimu Mbezi

© 2013 HEKIMA KWAYA MORAVIAN-KINONDONI . All rights resevered. Designed by Templateism