AD (728x90)

Thursday, May 19, 2011

HAWA NDIYO MBEYA TOWN CHOIR

Ukisikia Mbeya town choir lazima utakumbuka ili nyimbo ya Mungalalamukaga, hawa jamaa waliicheza hiyo nyimbo kwa staili ya kitamaduni, walibamba sana na ndiyo wametoka na wanauza kweli, blog hii ya hekima kwaya inawapa big up na kuwatakia mafanikio mazuri zaidi, mungu aendelee kuwapigania

No comments:

© 2013 HEKIMA KWAYA MORAVIAN-KINONDONI . All rights resevered. Designed by Templateism