AD (728x90)

Monday, July 16, 2012

Mwimbaji wa Hekima amvalisha pete ya uchumba mwimbaji mwenzake siku ya kutoa Mahari

Kupeana bila uchoyo ndiyo wajibu, Martha na Joseph wakila keki kwa staili yake huko mbozi ambapo Joseph alijitosa mwanawane kupeleka mahari, Mugnu awabariki sana
Joseph Samson akimvika pete ya uchumbaji mwimbaji solo wa Hekima Martha Msyani baada ya kutolewa mahari, ilikuwa njema sana, tunamshukuru Mungu kwa uaminifu wake

Muimbaji wa kwaya ya Hekima Joseph Samson akipata kipande cha Keki mara baada ya kumaliza shughuli ya kutoa mahari kwa binti Martha Msyani, hekima kwaya tunawapongeza kwa hatua hiyo

Pozi hili waimbaji wa Hekima kwaya martha na Joseph wakiwa katika pozi la pamoja kwenye sherehe ya kutoa mahari, mchakato wa ndoa yao utaanza siku za karibuni, hekima kwaya tunawapongeza kwa hatua waliyofikia Mungu awabariki



No comments:

© 2013 HEKIMA KWAYA MORAVIAN-KINONDONI . All rights resevered. Designed by Templateism